×
MACHI 17 KILA MWAKA KUWA MAGUFULI DAY: KUMBUKUMBU YA HAYATI JOHN POMBE MAGUFULI
Ramadhan H.
started this petition to
Serikali ya Awamu ya Sita
Katika kulinda Jitihada na Fikra za Hayati Magufuli ili vizazi vya baadae viendelee kumsoma na kumuishi kwa namna alivyowatetea wananchi masikini, Kuinua Uchumi wa Nchi, Maendeleo ya Ghafla, Kuiheshimisha TANZANIA katika Dunia, Kusimamia rasilimali za Taifa, Kuonesha mfano wa uongozi bora Duniani, Kuleta heshima kati ya Tajiri na Masikiri, Kuonesha uthubutu wa maamuzi chanya kwa Taifa, Kutufundisha kuwa TANZANIA sio masikini na inajiweza yenyewe.
Kupambana na ufisadi, Kutuweka kifua mbele kwenye JANGA la COVID19, Kutoa kauli za kinabii zilizofuatwa na mataifa makubwa duniani. Kuifundisha Tanzania misingi ya UZALENDO wa kweli.
Tuhakikishe vizazi vyetu vinafahamu na Vinaenzi furaha ya miaka 6 tuliyomtumia Mtoto wa CHATO kwa Jina JOHN.
Fanya MACHI 17 iwe MAGUFULI DAY
Kupambana na ufisadi, Kutuweka kifua mbele kwenye JANGA la COVID19, Kutoa kauli za kinabii zilizofuatwa na mataifa makubwa duniani. Kuifundisha Tanzania misingi ya UZALENDO wa kweli.
Tuhakikishe vizazi vyetu vinafahamu na Vinaenzi furaha ya miaka 6 tuliyomtumia Mtoto wa CHATO kwa Jina JOHN.
Fanya MACHI 17 iwe MAGUFULI DAY
Posted
(Updated )
Report this as inappropriate
There was an error when submitting your files and/or report.